UFUNUO WA YOHANA
[1]
Ufunuo wa Yohana akiwa kisiwani (Patimo)
Kaonyeshwa kaiona hukumu imefika (jamani).
[chorus]
Bwana ameketi na yuko tayari kuwahukumu
Amekishika na kile kitabu cha uzima,
Anasoma nani ameandikwa.
Wale wasioandi kwa watalia sana
Kusukumwa Jehanamu.
Jehanamu (x2) -(humo, humo, humo),
Jehanamu ni mateso.
Jiulize kama ndugu umeisha andikwa
Usiende Jehanamu -watalia “sana”
Watalia “sana” kusukumwa Jehanamu.
[2]
Na tazama aliona dunia inatupwa (motoni)
Jina lake aliitwa Alfa na Omega (jamani).
[3]
Ndugu yangu wasemaje Yesu anakuita (kimbia)
Usingoje kuambiwa miango utafungwa (kimbia).
Support Mysongbooks
Support us by joining the Buy Me A Coffee community and making a small donation, you can help us expand our library and ensure that music lovers everywhere can enjoy their favorite songs to the fullest. We're passionate about music, and we know you are too, so let's work together to keep the music alive.
Thank you for being a part of our community and supporting our mission to provide the best lyrics library on the internet.