Toka Utumwani
[1]
Toka utumwani ninasafiri kila
Siku, niingie Kanaani
Niliyoahidiwa, Tuimbe haleluya
Kweli tumefunguliwa na
Kwenda Kanaani, Kanaani ya kweli
[Chorus]
Daima nakwenda huko niingie, Kanaani
Niingie Kanaani niliyoahidiwa, Tuimbe Haleluya
Kweli tumefunguliwa na enda
Kanaani, Kanaani ya kweli x2
[2]
Toka Misri napitia kwenye
Giza katika milima mabonde
Jangwa bali sitachoka kamwe
Bwana ndiye nguvu zangu
Na kwenda Kanaani, Kanaani ya kweli
[Chorus]
Daima nakwenda huko niingie, Kanaani
Niingie Kanaani niliyoahidiwa, Tuimbe Haleluya
Kweli tumefunguliwa na enda
Kanaani, Kanaani ya kweli x2
[3]
Niliyotafuta yote niliyoahidiwa
Nifike Kanaani nchi ya ahadi kwa furaha
Nitaimba nikimsifu Yesu
Nakwenda Kanaani, Kanaani ya kweli
[Chorus]
Daima nakwenda huko niingie, Kanaani
Niingie Kanaani niliyoahidiwa, Tuimbe Haleluya
Kweli tumefunguliwa na enda
Kanaani, Kanaani ya kweli x2
Support Mysongbooks
Support us by joining the Buy Me A Coffee community and making a small donation, you can help us expand our library and ensure that music lovers everywhere can enjoy their favorite songs to the fullest. We're passionate about music, and we know you are too, so let's work together to keep the music alive.
Thank you for being a part of our community and supporting our mission to provide the best lyrics library on the internet.