Hukumu Na Majuto
[1]
Hukumu yaningoja nitakimbilia wapi
Ili niponywe na Bwana Yesu aita
Hukumu yaningoja nitakimbilia wapi
Ili niponywe na Bwana Yesu aita
[Chorus]
Nitasema nini Bwana?
Dhambi zangu zanilemea
Nitajibu nini Bwana?
Dhambi zangu zanilemea x2
Bwana niende wapi hukumu hii tayari
Bwana dhambi zangu zanilemea
Bwana niende wapi hukumu hii
Tayari Bwana dhambi zangu zanilemea
[2]
Yesu alimwaga damu kutuponya sisi
Wakosaji ili tusafishwe hima
Yesu alimwaga damu kutuponya sisi
Wakosaji Ili tusafishwe hima
[Chorus]
Nitasema nini Bwana?
Dhambi zangu zanilemea
Nitajibu nini Bwana?
Dhambi zangu zanilemea x2
Bwana niende wapi hukumu hii tayari
Bwana dhambi zangu zanilemea
Bwana niende wapi hukumu hii
Tayari Bwana dhambi zangu zanilemea
[3]
Sote tumwendee mponya ni Yesu kwa nguvu
Tumwombe kwani atatusafisha
Sote tumwendee mponya ni Yesu kwa nguvu
Tumwombe kwani atatusafisha
[Chorus]
Nitasema nini Bwana?
Dhambi zangu zanilemea
Nitajibu nini Bwana?
Dhambi zangu zanilemea x2
Bwana niende wapi hukumu hii tayari
Bwana dhambi zangu zanilemea
Bwana niende wapi hukumu hii
Tayari Bwana dhambi zangu zanilemea
Support Mysongbooks
Support us by joining the Buy Me A Coffee community and making a small donation, you can help us expand our library and ensure that music lovers everywhere can enjoy their favorite songs to the fullest. We're passionate about music, and we know you are too, so let's work together to keep the music alive.
Thank you for being a part of our community and supporting our mission to provide the best lyrics library on the internet.