Bwana Mungu Alisema Na Nuhu
[1]
Bwana Mungu alisema na Nuhu
Akamwambia Nuhu fanyiza safina. (X2)
[chorus]
Watu walilia - sana
Wakaangamia - wote
Walilia Nuhu fungua mlango
Nuhu akajibu - sasa
Sina la kufanya - mimi
Bwana Mungu ameuchukua ufunguo
[2]
Vishike viumbe vya aina zote
Nuhu sikia uviingize safinani. (X2)
[chorus]
Watu walilia - sana
Wakaangamia - wote
Walilia Nuhu fungua mlango
Nuhu akajibu - sasa
Sina la kufanya - mimi
Bwana Mungu ameuchukua ufunguo
[3]
Siku ya mwisho mvua ikanyesha
Muda wa siku arobaini duniani. (X2)
[chorus]
Watu walilia - sana
Wakaangamia - wote
Walilia Nuhu fungua mlango
Nuhu akajibu - sasa
Sina la kufanya - mimi
Bwana Mungu ameuchukua ufunguo
[4]
watu wote duniani walikufa
Hata wanyama na wadudu duniani. (X2)
[chorus]
Watu walilia - sana
Wakaangamia - wote
Walilia Nuhu fungua mlango
Nuhu akajibu - sasa
Sina la kufanya - mimi
Bwana Mungu ameuchukua ufunguo
[5]
Bwana yesu mwokozi alisema
Tubuni dhambi tusiangamie na sisi. (X2)
[chorus]
Watu walilia - sana
Wakaangamia - wote
Walilia Nuhu fungua mlango
Nuhu akajibu - sasa
Sina la kufanya - mimi
Bwana Mungu ameuchukua ufunguo
Support Mysongbooks
Support us by joining the Buy Me A Coffee community and making a small donation, you can help us expand our library and ensure that music lovers everywhere can enjoy their favorite songs to the fullest. We're passionate about music, and we know you are too, so let's work together to keep the music alive.
Thank you for being a part of our community and supporting our mission to provide the best lyrics library on the internet.