Loading Songs...

Nyota Tajini?

[1]
Leo ninafikiri ya nchi nzuri Ninayotaka kuiona;
Nisimamapo karibu na Mwokozi, Tajini zitakuwa nyota?

Sijui tajini mwangu kama nyota
Zitang‘aa kila wakati!
Nitakapoamka katika majumba,
Zitakuwa nyota tajini?

[2]
Kwa nguvu za Bwana nitafanya kazi, Nitavuta roho za watu,
Ili niwe na nyota katika taji, Bwana anapotupa tunu.

[3]
Nitakuwa na Furaha nikimwona, Kuweka miguuni pake
Watu waliovutwa kwa ajili ya Kazi yangu na Roho yake.


Support Mysongbooks

Support us by joining the Buy Me A Coffee community and making a small donation, you can help us expand our library and ensure that music lovers everywhere can enjoy their favorite songs to the fullest. We're passionate about music, and we know you are too, so let's work together to keep the music alive.

Thank you for being a part of our community and supporting our mission to provide the best lyrics library on the internet.

Buy me a coffeeBuy us a coffee

Like this song

4 Likes

Share this song

Facebook WhatsApp Twitter Telegram LinkedIn Email

Lyrics Videos on Youtube

See, What A Morning See, What A Morning
Songs On Request
AMAZING GRACE AMAZING GRACE
Hymns Of Comfort
He Gave Me A Song He Gave Me A Song
Songs On Request
Kutembea Nawe Kutembea Nawe
Kiswahili Praise And Worship
Holy, Holy, Holy Holy, Holy, Holy
Christ In Song Hymnal
Umetamalaki Umetamalaki
Songs On Request