Loading Songs...

Nyota Tajini?

[1]
Leo ninafikiri ya nchi nzuri Ninayotaka kuiona;
Nisimamapo karibu na Mwokozi, Tajini zitakuwa nyota?

Sijui tajini mwangu kama nyota
Zitang‘aa kila wakati!
Nitakapoamka katika majumba,
Zitakuwa nyota tajini?

[2]
Kwa nguvu za Bwana nitafanya kazi, Nitavuta roho za watu,
Ili niwe na nyota katika taji, Bwana anapotupa tunu.

[3]
Nitakuwa na Furaha nikimwona, Kuweka miguuni pake
Watu waliovutwa kwa ajili ya Kazi yangu na Roho yake.


Support Mysongbooks

Support us by joining the Buy Me A Coffee community and making a small donation, you can help us expand our library and ensure that music lovers everywhere can enjoy their favorite songs to the fullest. We're passionate about music, and we know you are too, so let's work together to keep the music alive.

Thank you for being a part of our community and supporting our mission to provide the best lyrics library on the internet.

Buy me a coffeeBuy us a coffee

Like this song

4 Likes

Share this song

Facebook WhatsApp Twitter Telegram LinkedIn Email

Lyrics Videos on Youtube

DOES JESUS CARE? DOES JESUS CARE?
Hymns Of Comfort
I LOVE YOU LORD I LOVE YOU LORD
Songs Of Prayer And Praise
AMAZING GRACE AMAZING GRACE
Hymns Of Comfort
God Bless You, Go With God God Bless You, Go With God
Songs On Request
He Gave Me A Song He Gave Me A Song
Songs On Request