ZITAKUWA NYOTA TAJINI
[1]
Leo nina fikiria nchi nzuri Ninayotaka kuiona;
Nisimamapo karibu na Mwokozi, Tajini zitakuwa nyota?
Chorus
Sijui tajini mwangu kama nyota
Zitang`aa kila wakati!
Nitakapoamka katika majumba
Zitakuwa nyota Tajini?
[2]
Kwa nguvu za Bwana nitafanya kazi, Nitavuta roho za watu,
Ili niwe na nyota katika taji, Bwana anapotupa tunu.
[3]
Nitakuwa na furaha nikimwona, Kuweka miguuni pake
Watu walio vutwa kwa ajili ya Kazi yangu na Roho yake.
05[8]
Support Mysongbooks
Support us by joining the Buy Me A Coffee community and making a small donation, you can help us expand our library and ensure that music lovers everywhere can enjoy their favorite songs to the fullest. We're passionate about music, and we know you are too, so let's work together to keep the music alive.
Thank you for being a part of our community and supporting our mission to provide the best lyrics library on the internet.