ZILETENI ZAKA KWA HAZINA
[1]
Sikieni neno la Mungu wetu, zileteni zaka kwa hazina
Leteni na mioyo yenu yote; mibaraka itakuja.
Chorus
Zileteni zaka kwa hazina, kanijaribu sasa nazo;
Nitakupeni mibaraka, zaidi ya nafasi ya kupewa.
[2]
Wakati Roho Mtakatifu kwako? Uzilete zaka kwa hazina
Ukae karibu na Bwana wako, ndipo utabarikiwa.
[3]
Je,una kasoro na Bwana wako? Uzilete zaka kwa hazina,
Uzilete kama alivyo sema, Ndipo utabarikiwa.
[4]
Ushukuru Bwana na moyo wote, unapo leta zaka ghalani;
Usadiki ahadi zake zote, ndipo utabarikiwa.
[5]
Tuimbe sote nyimbo za furaha, tunapoleta zaka ghalani
Twimbe kabisa na furaha kubwa, kwani tutabarikiwa.
09[5]
Support Mysongbooks
Support us by joining the Buy Me A Coffee community and making a small donation, you can help us expand our library and ensure that music lovers everywhere can enjoy their favorite songs to the fullest. We're passionate about music, and we know you are too, so let's work together to keep the music alive.
Thank you for being a part of our community and supporting our mission to provide the best lyrics library on the internet.