MPAKA LINI BWANA
[1]
Mpaka lini Bwana, Utakaa mbali?
Kumetuchosha moyo kukawia hivi.
Utatujia lini, Ili tufurahi
Katika ile nuru, kuja kutukufu?
[2]
Mpaka lini Yesu, Utaacha watu
Uliowakomboa, Wawe na mashaka?
Wachache waamini, Kwamba utarudi;
Wachache wa tayari, Bwana kukulaki.
[3]
Waamshe watu wako, Tangaza kilio:
‘Mwe watakatifu, Bwanayu karibu!‘
Utatujia lini, Ili tufurahi
Katika ile nuru, Kutukufu?
07[8]
Support Mysongbooks
Support us by joining the Buy Me A Coffee community and making a small donation, you can help us expand our library and ensure that music lovers everywhere can enjoy their favorite songs to the fullest. We're passionate about music, and we know you are too, so let's work together to keep the music alive.
Thank you for being a part of our community and supporting our mission to provide the best lyrics library on the internet.