BWANA NAMI
[1]
Nimemwona rafiki wa thamani kubwa,
Ananipenda kwa ‘pole, kwa pendo amini:
Kuishi kute ngwa naye, la, huki siwezi,
Tunakaa pamoja: Bwana nami.
[2]
Pengine nimechoka, mimi mdhaifu,
Ndipo ninamtegemea, alivyoalika;
Huniongoza njiani, pahali pa nuru,
Twatembea pamoja: Bwana nami.
[3]
Namweleza huzuni, na fura ha yangu,
Vile ninavyosumbua, vinavyopendeza;
Huniagiza kutenda, yanayonipasa,
Twazungumza pamoja: Bwana nami.
[4]
Ajua natamani, kuwavuta watu,
Hivyo ananipeleka, kutangaza Neno;
Nitangaze pendo lak, kwa niniakafa;
Twahubiri pamoja: Bwana nami.
06[1]
Support Mysongbooks
Support us by joining the Buy Me A Coffee community and making a small donation, you can help us expand our library and ensure that music lovers everywhere can enjoy their favorite songs to the fullest. We're passionate about music, and we know you are too, so let's work together to keep the music alive.
Thank you for being a part of our community and supporting our mission to provide the best lyrics library on the internet.