Yale Umetenda Baba
Mi nashangaa nikielewa
Wewe ni zaidi ya vile nilivyoambiwa juu Yako
Tena sauti Yako, Baba yanizidia,
Sauti zote ninazosikia
Yale umetenda Baba, yote ni makuu
Maana wayatenda kwa upendo
Yale unasema Baba yote ni kweli
Maana pia wayasema kwa upendo
Yale umetenda Baba, yote ni makuu
Maana wayatenda kwa upendo
Yale unasema Baba yote ni kweli
Maana pia wayasema kwa upendo
Nimejipata ndani ya upendo wako,
Umekua kwangu mapumziko
Neema yako yanitosha,
Nikiwa nawe mimi niko huru.
Yale umetenda Baba, yote ni makuu
Maana wayatenda kwa upendo
Yale unasema Baba yote ni kweli
Maana pia wayasema kwa upendo
Wewe ni Mungu mkuu,
Mfalme wa wafalme,
Muumba wa mbingu na nchi,
Heshima zote ni zako bwana,
Hakuna kama wewe
Yale umetenda Baba, yote ni makuu
Maana wayatenda kwa upendo
Yale unasema Baba yote ni kweli
Maana pia wayasema kwa upendo
Yale umetenda Baba, yote ni makuu
Maana wayatenda kwa upendo
Yale unasema Baba yote ni kweli
Maana pia wayasema kwa upendo
Support Mysongbooks
Support us by joining the Buy Me A Coffee community and making a small donation, you can help us expand our library and ensure that music lovers everywhere can enjoy their favorite songs to the fullest. We're passionate about music, and we know you are too, so let's work together to keep the music alive.
Thank you for being a part of our community and supporting our mission to provide the best lyrics library on the internet.