Nasema Asante
Nasema asante kwa Mungu wangu
Nasema Asante kwa wema wako
kwa maana fadhili zako zadumu milele na milele Amina.
Nitaimba sifa zako mbele ya watu wote
Nitaimba sifa zako mbele ya watu wote
kwa maana fadhili zako zadumu milele na milele Amina.
Oooh nitaimba sifa zako mbele ya watu wote
Nitaimba sifa zako mbele ya watu wote
kwa maana fadhili zako zadumu milele na milele Amina.
Nasema asante kwa Mungu wangu
Nasema asante kwa wema wako
kwa maana fadhili zako zadumu milele na milele Amina.
Mungu nasema asante Baba,Nasema asanti kwa wema Wako
Nakushukuru, nakushukuru Wewe, Umenitendea makubwa
Nainua Jina Lako, natukuza Jina Lako, Unastahili Baba, Unastahili kuinuliwa
Unastahili sifa na utukufu,Wewe ni wa ajabu
Umenilinda Baba, Umeniponya, Umeni-inua, Umenibariki
Haleluya Jehova Jire Nakuinua, nasema asanti Baba, asanti kwa wema wako
Nakushukuru, Wewe ni Alpha na Omega. Wewe ni mwanzo na ni mwisho
Hakuna mwingine Baba, Haleluya nakupenda, nakuinua, nakutukuza
Nasema asante kwa Mungu wangu
Nasema asante kwa wema wako
kwa maana fadhili zako zadumu milele na milele Amina.
Nasema asante kwa Mungu wangu
Nasema asante kwa wema wako
kwa maana fadhili zako zadumu milele na milele Amina.
Support Mysongbooks
Support us by joining the Buy Me A Coffee community and making a small donation, you can help us expand our library and ensure that music lovers everywhere can enjoy their favorite songs to the fullest. We're passionate about music, and we know you are too, so let's work together to keep the music alive.
Thank you for being a part of our community and supporting our mission to provide the best lyrics library on the internet.