Mnyunyizi Wangu
Uninyunyiziaye maji, wakati wa ukame
Huwachi ninyauke, Oh nakupenda
Uninyunyiziaye maji, wakati wa ukame
Huwachi ninyauke, Oh nakupenda
Nakupenda, nakupenda
Mnyunyizi wangu, Oh nakupenda
Nakupenda, nakupenda
Mnyunyizi wangu, Oh nakupenda
Kama mti kando ya mto, Hivyo ndivyo ilivyo
Mnyunyizi wangu, Oh nakupenda
Kama mti kando ya mto, Hivyo ndivyo ilivyo
Mnyunyizi wangu, Oh nakupenda
Nakupenda, nakupenda
Mnyunyizi wangu, Oh nakupenda
Nakupenda, nakupenda
Mnyunyizi wangu, Oh nakupenda
Kiarie: "Nakupenda Jehovah wewe ni mnyunyizi wangu
Unaninyunyizia maji wakati wa ukame, huachi ninyauke.
Unaninawirisha Jehovah, Jina lako nalitukuza nakupenda
kwa roho yangu yote. Nitakutumikia maishani mwangu Jehovah
Nakuimbia wimbo mpya, sina mwingine..."
Nakupenda, nakupenda
Mnyunyizi wangu, Oh nakupenda
Nakupenda, nakupenda
Mnyunyizi wangu, Oh nakupenda
Support Mysongbooks
Support us by joining the Buy Me A Coffee community and making a small donation, you can help us expand our library and ensure that music lovers everywhere can enjoy their favorite songs to the fullest. We're passionate about music, and we know you are too, so let's work together to keep the music alive.
Thank you for being a part of our community and supporting our mission to provide the best lyrics library on the internet.