Juu Yako Bwana Naishi
Umenilinda na kunihifadhi
fadhili zako za milele
ni ju yako Bwana mi naishi
Umenilinda kwa mishale ya kifo
fadhili zako za milele
ni ju yako Bwana ninaishi
Umenilinda kwa mikosi yoyote
fadhili zako za milele
ni ju yako Bwana ninaishi
Pokea sifa zote na utukufu
Heshima na uweza ni zako Bwana
Haulinganishwi na chochote
fadhili zako za milele
Ni ju yako Bwana ninaishi
Gongo lako na fimbo yako
yanifariji mimi
Ni ju yako Bwana mi naishi
Waandaa meza mbele ya watesi wangu
Ni ju yako Bwana mi naishi
Nipitapo kwenye uvuli wa kifo
wewe huniachi baba
Ni ju yako Bwana mi naishi
Pokea sifa zote na utukufu
Heshima na uweza ni zako Bwana
Haulinganishwi na chochote
fadhili zako za milele
Ni ju yako Bwana ninaishi
Support Mysongbooks
Support us by joining the Buy Me A Coffee community and making a small donation, you can help us expand our library and ensure that music lovers everywhere can enjoy their favorite songs to the fullest. We're passionate about music, and we know you are too, so let's work together to keep the music alive.
Thank you for being a part of our community and supporting our mission to provide the best lyrics library on the internet.