Bwana Ni Mchungaji Wangu
[1]
Bwana ni mchungaji wangu,
Sitapungukiwa kitu
Hun’laza penye majani mabichi,
Huniongoza kwa maji matulivu
[Chorus]
Hakika wema nazo fadhili zitanifuata mimi,
Nitakaa nyumbani mwa Bwana,
Siku zote za maisha yangu
[2]
Hunihuisha nafsi yangu,
Hun’ongoza kwa njia za haki
Nipitapo bondeni mwa mauti,
Sitaogopa wewe u nami
[Chorus]
Hakika wema nazo fadhili zitanifuata mimi,
Nitakaa nyumbani mwa Bwana,
Siku zote za maisha yangu
[3]
Gongo lako na fimbo yako,
Vitanifariji mimi
Waandaa meza mbele yangu,
Machoni pa watesi wangu
[Chorus]
Hakika wema nazo fadhili zitanifuata mimi,
Nitakaa nyumbani mwa Bwana,
Siku zote za maisha yangu
Support Mysongbooks
Support us by joining the Buy Me A Coffee community and making a small donation, you can help us expand our library and ensure that music lovers everywhere can enjoy their favorite songs to the fullest. We're passionate about music, and we know you are too, so let's work together to keep the music alive.
Thank you for being a part of our community and supporting our mission to provide the best lyrics library on the internet.