Loading Songs...

Ananijali

Nimeomba,
Tena sio mara moja, kwa roho na kwa kweli
Bali sijapata, majibu yangu kuyaona

Adui shetani muongo
Asema yakwamba mwenyezi Mungu, yeye hanijali bali
Siwezi, sitomkubali
Ninayo hakikisho, ya kweli mimi ninajua

Ananijali (x2)

Sitokubali kuzama kwenye maji
Ananipenda yeye ni mwema

Ni za dunia
Zangu hizi shida, hazitanizuia, kukutumikia
Nitafuata mimi hiyo njia, ya kweli na uzima

Kwani ulisema yote yamekwisha
Sitababaishwa, ninajua yatapita
Kwani, baada ya usiku giza
Ninayo hakikisho, asibuhi itafika, kwani

Ananijali (x2)

Sitokubali kuzama kwenye maji
Ananipenda yeye ni mwema


Support Mysongbooks

Support us by joining the Buy Me A Coffee community and making a small donation, you can help us expand our library and ensure that music lovers everywhere can enjoy their favorite songs to the fullest. We're passionate about music, and we know you are too, so let's work together to keep the music alive.

Thank you for being a part of our community and supporting our mission to provide the best lyrics library on the internet.

Buy me a coffeeBuy us a coffee

Like this song

2 Likes

Share this song

Facebook WhatsApp Twitter Telegram LinkedIn Email

Lyrics Videos on Youtube

Amazing Grace Amazing Grace
Golden Bells
DOES JESUS CARE? DOES JESUS CARE?
Hymns Of Comfort
Moyo Wangu Sifu Bwana Moyo Wangu Sifu Bwana
Kiswahili Praise And Worship
10000 Reasons 10000 Reasons
Songs On Request
I WILL CALL UPON THE LORD I WILL CALL UPON THE LORD
Songs Of Prayer And Praise
See, What A Morning See, What A Morning
Songs On Request