Loading Songs...

Ananijali

Nimeomba,
Tena sio mara moja, kwa roho na kwa kweli
Bali sijapata, majibu yangu kuyaona

Adui shetani muongo
Asema yakwamba mwenyezi Mungu, yeye hanijali bali
Siwezi, sitomkubali
Ninayo hakikisho, ya kweli mimi ninajua

Ananijali (x2)

Sitokubali kuzama kwenye maji
Ananipenda yeye ni mwema

Ni za dunia
Zangu hizi shida, hazitanizuia, kukutumikia
Nitafuata mimi hiyo njia, ya kweli na uzima

Kwani ulisema yote yamekwisha
Sitababaishwa, ninajua yatapita
Kwani, baada ya usiku giza
Ninayo hakikisho, asibuhi itafika, kwani

Ananijali (x2)

Sitokubali kuzama kwenye maji
Ananipenda yeye ni mwema


Support Mysongbooks

Support us by joining the Buy Me A Coffee community and making a small donation, you can help us expand our library and ensure that music lovers everywhere can enjoy their favorite songs to the fullest. We're passionate about music, and we know you are too, so let's work together to keep the music alive.

Thank you for being a part of our community and supporting our mission to provide the best lyrics library on the internet.

Buy me a coffeeBuy us a coffee

Like this song

2 Likes

Share this song

Facebook WhatsApp Twitter Telegram LinkedIn Email

Lyrics Videos on Youtube

Listen To Our Hearts Listen To Our Hearts
Songs On Request
Joy to the World Joy to the World
Sunday School Songs
Hide Me, Rock Of Ages Hide Me, Rock Of Ages
Songs On Request
HE HIDETH MY SOUL HE HIDETH MY SOUL
Hymns Of Comfort
Come We That Love The Lord Come We That Love The Lord
Christ In Song Hymnal