Watu
[1]
Walio kifoni, nenda waponye.
Uwatoe walio shimoni;
Wanaoanguka uwainue;
Habari njema uwajulishe.
Walio kifoni waokoeni,
Mwokozi yuko huwangojea
[2]
Wajapokawia anangojea,
Awasubiri waje tobani;
Mwokozi hawezi kuwadharau,
Huwasamehe tangu zamani:
[3]
Na ndani ya moyo wa wanadamu
Huwamo shida, tena huzuni;
Lakini kwa Yesu kuna rehema
Kuwaponya na kuwakoa.
[4]
Walio kifoni, nenda waponye
Kazi ni yetu, zawadi iko;
Nguvu kuhubiri Bwana hutoa
Kwa subira tuwavute sasa.
Support Mysongbooks
Support us by joining the Buy Me A Coffee community and making a small donation, you can help us expand our library and ensure that music lovers everywhere can enjoy their favorite songs to the fullest. We're passionate about music, and we know you are too, so let's work together to keep the music alive.
Thank you for being a part of our community and supporting our mission to provide the best lyrics library on the internet.