Na Yesu
[1]
Yesu Mwokozi, kwa hakika . Hunipa furaha na amani;
Mrithi wa wokovu wake, Natakaswa kwa damu yake.
Habari hiyo wimbo wangu, Daima nitamsifu Yesu.
Habari hiyo wimbo wangu, Daima nitamsifu Yesu.
[2]
Nijitoapo nina raha, Na kwa imani namwona Bwana;
Aniletea malaika, Wananilinda niokoke.
[3]
Hali na mali anaitwaa, Katika Yesu nabarikiwa;
Nikimngoja kwa subira, Wema wake unanitosha.
Support Mysongbooks
Support us by joining the Buy Me A Coffee community and making a small donation, you can help us expand our library and ensure that music lovers everywhere can enjoy their favorite songs to the fullest. We're passionate about music, and we know you are too, so let's work together to keep the music alive.
Thank you for being a part of our community and supporting our mission to provide the best lyrics library on the internet.